Wakati naanza vitabu nikiwa bado kijana mdogo sikuweza kuona nguvu yake. Ila kadri muda ulivyoenda ndivyo nilivyoanza kuona vitabu ni rafiki wa kweli wa Maisha ya mafanikio. Kila nilipopitia changamoto nyingi katika maisha, vitabu vimekuwa njia kubwa ya kujifunza, kuona mwanga na kunisaidia kuvuka vikwazo. Rafiki wa kweli huyu amekuwa ni rafiki wa faida karibu …
Continue reading “Rafiki wako wa kweli wa mafanikio – “Soma vitabu sasa””