Habari mfuatiliaji wa makala hizi kila siku, ni siku mpya tena tumepewa ili kuishi na kufanya yaliyo bora kwa juhudi na kuendelea kulitafuta kusudi la kuwepo kwetu hapa duniani. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa nafasi hii ya kipekee kabisa ya kuiona siku ya Leo Tulikua na mwanzo wa mwezi huu wa April na sasa …
Monthly Archives: April 2017
MAISHA NI KUJITUMA
Habari mfuatiliaji wa makala hizi kila siku, hii ni siku ya pekee sana kuendelea na mipango na malengo kutimiza, Leo ni leo hakuna nyingine, hivyo jitahidi unaitumia vizuri sana kuhakikisha kila hatua yako inakupa matunda. Jitahidi leo kujaribu kitu ambacho umekua unakisema kesho kesho, masaa haya ni kwa ajili ya kufanya kitu kikubwa. Maisha hayatakuja …
JUU KUNA NINI ?
Habari ndugu mfuatiliaji wa makala hizi kila siku, leo ni siku mpya tena ya kufanya kwa ustadi na kuthamini kila saa kuona huwezi tena kulipata likishapotea, Jipangie malengo ya kufanya kila siku kuhakikisha unafanikiwa katika kila unalolifanya, hata isipotokea basi isikuvunje moyo kuacha kuendelea kufanya. Shida kubwa iliyopo kuanzia ngazi ya familia, jamii mpaka juu …
JUA MAMBO YANABADILIKA
Habari ndugu na rafiki yangu mfuatiliaji na msomaji wa makala hizi kila siku, siku mpya tena tumepewa ya kufanya kitu kikubwa, ile Safari uloanza, ule uamuzi wa kutenda endelea na Safari maana bado hujafika kule unakotamani kufika, Leo Ni fursa na kama moshi ukipita haurudi tena, hivyo itupe kutumia vizuri na kwa hamasa kubwa ya …
JIKUMBUSHE MIPANGO YAKO
Habari ya siku mpya mfuatiliaji wa makala hizi kila siku, Leo Ni siku ya pekee kufanya yale ambayo jana ulisema ungefanya, basi hii ni fursa kwako kwanza kumshukuru Mungu na pili kuitumia vizuri kwa ajili ya kukamilisha mipango yako Imekua kawaida kuwa na hamasa na jambo kisha baada ya muda kuliacha au kulisahau kabisa tena …
WAKIRUDI NYUMA, WEWE SONGA MBELE
Habari ya siku mpya ndugu mfuatiliaji wa makala hizi kila siku, ni siku ya pekee ya kuendelea kumshukuru Mungu kwa uzima na afya na hii inatupa nguvu kuwa bado tunaweza kufanya kitu katika maisha yetu. Moyo wenye shukrani hubarikiwa Sana, hivyo usiache kushukuru kwa siku mpya ya Leo Katika Safari ya maisha, hasa pale unapokuwa …
NYAKATI NGUMU ZINA FAIDA ZAKE
Habari za siku mpya ndugu mfuatiliaji na msomaji wa makala hizi kila siku. Ni jambo la heri na la kumshukuru Mungu kuweza kuiona siku nyingine mpya, siku hii ni njema Sana kufanya jambo au mipango yako vizuri ili kufika mafanikio ya kile unachokiamini Siku zinakimbia na muda unajongea, hakuna mtu ana uwezo kusimamisha hata dakika …
CHEKO NI TIBA YA MOYO
UTULIVU WA KICHEKO Niacheni kupaza kicheko Uso ugubikwe bubujiko Cheko hili la moyo uliko Na Meno ya nje nje na yaweko Furaha ni hazina moyoni Huja kujionyesha usoni Hii ni tiba yangu mwilini Cheko lenye bashasha machoni Raha ya kicheko kiwe ndani Huzuni na haipo mkononi Cheko lenye raha maishani Laonekana hadi usoni Mchoro huu …
MCHEZO WA KUVUTA KAMBA
Habari ndugu mfuatiliaji na msomaji wa makala hizi kila siku, ni siku mpya tena imefika kama umepata kuiona jambo la kumshukuru Mungu basi liwe la kwanza katika kinywa chako. Hii ni siku ya kufanya kitu isipite bure tu, maana kupoteza muda ni kupoteza sehemu ya maisha yako Kwa jamii zetu nyingi basi michezo kama kukimbia …
MAISHA NI PUMZI
U Hali gani ndugu mfuatiliaji na msomaji wa makala hizi kila siku, Leo imekua siku mpya tena kwa ajili ya kuendelea na kupambana na pia kutafuta kusudi la kuwepo ulimwenguni Moja ya jambo ambalo huwa halipendwi kuzungumziwa, japo ni halisi ni kwa Habari ya ukomo wa kuishi ( kufa), huwa ni maada ambayo si pendwa …