Endelea na Safari ya Kuupanda Mlima

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni zawadi ya kuitunza na kutumia muda vizuri ili kuyafikia malengo yako. Ashukuriwe Mungu atupaye uzima na afya nayo pumzi ishara tuna kitu cha kufanya siku ya leo. Haitakiwi kuona kama siku ya bure iende tu. Endelea kujifunza maana ndiko kutakokupa mabadiliko chanya na kusogea hatua …

Ogopa Kuwayawaya

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni neema yake Mungu kufika siku nyingine ikiwa na maana bado nafasi tunayo yakufanya makubwa na kujiboresha zaidi. Kila siku ni fursa kwetu kujifunza pasipo kuchoka, maana maisha ni darasa kubwa sana yanahitaji maarifa makubwa namna kukabiliana na changamoto na misukosuko ya maisha. Usiache kujifunza na kujiendeleza kila …

MAMBO 15 NILIYOJIFUNZA MWEZI MEI

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, kila siku huja na habari zake na zinaweza kuwa na athari chanya au hasi. Ni neema na jambo la shukrani kupata pumzi tena ya kuendelea kujifunza na kujiboresha kila siku ili muda unaopatikana utumike kukaribia ndoto zetu, malengo yetu na hata kazi zetu. Usiache kujifunza hata kama wakati …

Tunapoelekea Nusu Mwaka, Tenga muda kujikagua

Habari mfuatuliaji wa blogu kila siku, ni jambo la kumshukuru Mungu anayetupa nafasi kila siku ya kujikagua, kujichunguza hata kujisemesha mwenyewe namna gani? maisha yalienda au namna muda ulienda pia. Nikupongeze uliye na taratibu ya kukaa chini na ukajitathimini maeneo mbalimbali ya maisha yako, muda wa tafakari ya maisha ni wa muhimu sana kujua umefikia …

Wekeza Katika Matendo, Maneno Soko limeshuka

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, nikupe hongera sana kwa kutoa muda wako hapa ni sehemu sahihi haupotezi ila unawekeza kwa kuvuna sasa na baadaye. Mungu ni mwema katupa nafasi ya pumzi leo ili tutumie muda kujiboresha, kupambana, kusaidiana na kuishi vizuri na watu. Usiruhusu siku ipite hujafanya kitu cha kugusa maisha ya mtu …

Shida Huja Unapotafsiri

Habari mfuatiliaji wa blogu hii, kabla yote neno la kushukuru kwa Mungu kwa uzima ni jambo la heshima na kujua si kwa nguvu zako. Hakuna kitu kibaya usipokielewa vizuri kama mtu akikutusi au kusema jambo juu yako la kugusa hisia zako. Kuna wakati mtu anaweza kuingia simanzi, akitafakari juu ya maneno huenda kweli au sikweli …

Kila Siku Ona Unaikaribia Ndoto Yako

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, mafanikio yanajengwa na hili neno kila siku kama utaendelea kuweka juhudi utafika mbali sana, na vivyo vivyo usipoweka juhudi utaliona likipita na kisha mwaka au siku zikiisha unaanza kujilaumu. Ashukuriwe Mungu ambaye katupa nafasi tena ya pumzi ili tutumie muda vizuri na kujiboresha na kuendelea kujifunza. Safari ya …

Sura Ndefu Ya Stadi Za Maisha

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kadri siku zinapoenda kuelekea nusu mwaka panapo majaliwa utakua umesogeza hatua fulani, kama utazingatia chochote kile ambacho ni kwa kujiboresha kwako utasogea mbele zaidi. Pumzi ndio mtaji wetu wenye thamani duniani ukiwa na ambatanisho la afya, mshukuru Mungu kwa siku hii ya pekee isiende bora liende. Itumie kujenga na kujiboresha …

Zishushe Nyavu Tena

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, endelea kujaza kapu lako la maarifa kwa kujifunza na kutenda ulojifunza ndipo maisha yako yataanza kubadilika kila siku. Maarifa ni kama msuli kadri unavyofanya mazoezi na kuwa na nidhamu ndivyo unapopata matokeo utakayo. Usiache kufuata maarifa sahihi na kujifunza kila siku, Mungu ni mwema aliyetupa pumzi ili tuendelee …

HATA KUFELI NI SOMO LA MAFANIKIO

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku imekua siku njema tena Mungu katupa uzima na pumzi ili tuendelee kukamilisha na kuanza kutenda kwa yale ambayo tumeumbiwa kufanya. Ndio mwanzo wa Wiki lakini pia ndio Wiki ya mwisho ya mwezi Mei. Juzi juzi tulikua mosi ya mwezi huu na sasa tuko ukingoni tukielekea nusu ya mwaka. …

Design a site like this with WordPress.com
Get started