Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni jambo la kumshukuru Mungu kupata siku ya pekee tena, hii inaendelea kukumbusha kuwa siku zinaenda na umri unasogea kila siku, hatua kwa hatua usipofanya leo usijetegemea fursa hii itaendelea kuwepo kila siku, wakati wako ni sasa kuamua na kutenda kama bado umekua unajishauri kufanya kitu fulani maishani. …
Continue reading “Usiogope Kulipia Gharama kama Kweli umedhamiria”