Usiogope Kulipia Gharama kama Kweli umedhamiria

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni jambo la kumshukuru Mungu kupata siku ya pekee tena, hii inaendelea kukumbusha kuwa siku zinaenda na umri unasogea kila siku, hatua kwa hatua usipofanya leo usijetegemea fursa hii itaendelea kuwepo kila siku, wakati wako ni sasa kuamua na kutenda kama bado umekua unajishauri kufanya kitu fulani maishani. …

Maisha ni Pamoja Kuwa na Malengo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni fursa ya kujiboresha na kujiendeleza zaidi, na wakati wa kutenda yale ambayo tulisema jana tungefanya. Leo ni ya pekee zaidi kutazamwa na kutumiwa vizuri, sababu ina mchango mkubwa wa ujenzi wa ijayo yako. Ipo sababu ya kumshukuru Mungu kwa uzima na pumzi tena kuona siku …

Jambo Moja la Kujifunza kwa John Stephen Akhwari

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, kila siku ni zawadi nzuri ya kufanya makubwa zaidi, iwapo pumzi na afya vipo ni nguvu tosha ya kuendelea kujifunza na kujiboresha zaidi kuifikia ndoto yako. Kujifunza ni chumba kikubwa sana kisichowezwa kujazwa leo kila siku ni nafasi ya kujifunza zaidi. Ni jambo la kuendelea kumshukuru Mungu sana …

KIPENGA CHA DAKIKA ZA KIPINDI CHA PILI CHA MCHEZO

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kwanza nikupe hongera kwa jinsi unatoa muda kujifunza na kuondoka na kitu cha kufanyia kazi, pili ni jambo la kumshukuru Mungu kuona nusu ya mwaka huu 2017 ikiwa tayari miezi mitano imepukutika na hakuna namna ya kurudi nyuma tena. Imebaki nusu nyingine tena ya kubadilisha sura ya mchezo endapo utajituma …

Design a site like this with WordPress.com
Get started