Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, nikupongeze sana kwa sehemu na hatua uliyoweza kusogea kwa mwezi huu wa saba na leo ikiwa ni siku ya kumaliza mbio za siku 31. Huenda kuna mengi sana ulipanga kuwa mwezi wa saba ningefanya moja mbili tatu. Mwezi umeisha na unaingia mwezi mwingine wa Nane. Naamini kuna kitu …
Continue reading “111: Jambo Moja Lakujikumbusha Tarehe 31 Julai na Mwezi Unaokuja”