102: Mazoezi ya Kijeshi hutufundisha Uvumilivu na kujiandaa kwa Ushindi

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ni siku ya pekee kabisa. Pumzi na afya ni zawadi kutoka kwa Mungu, hivyo shukrani ni wimbo kwa kinywa cha Mtu. Leo ni fursa tena ya sisi kuendelea kujifunza zaidi, hivyo muda ulionao leo ni rasimali ya pekee ya kuwekeza katika kuboresha ndoto zetu, kazi zetu na …

101: Utenzi na Kanuni 5 zinazoongoza Utendaji kazi wa Ubongo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni siku ya pekee sana leo kuendelea na juhudi katika malengo na ndoto za mtu kuzitimiza. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa pumzi na uzima ya kuweza kuona siku ya leo, pia nikupongeze msomaji wangu kwa hatua ndogo niliyopiga ya jumbe 100 kuziandika, ni jambo la kutia nguvu …

SHUKRANI KWAKO MSOMAJI WANGU KWA JUMBE HIZI 100

Habari mfuatiliaji wangu wa blogu hii kila siku, hakika nitumie nafasi hii kukushukuru kwa namna yoyote ile umekua unatumia muda wako katika kusoma na kujifunza katika blogu hii, umekua rafiki na mtu wa karibu katika kujifunza zaidi. Leo yatosha kusema neno ASANTE Nimejifunza mengi sana katika safari hii ya kuandika kila siku mpaka kufikia jumbe …

Wanasema Tembea Uone, Ila Tuongezee na Soma Ufunguke …Ndizi ina Rangi Gani ? Kitabu cha INUKA !!!!!!!

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ukurasa mpya tena kuufungua wa kujifunza, kuanza, kujiboresha na kuishi, Mshukuru Mungu kwa pumzi na afya kwa kuona siku hii, si jambo la mazoea ni jambo la kuheshimu na kushukuru kila siku, shukrani ya kwanza ni kutunza na kuheshimu fursa ya muda, muda ni rasimali sawa kwa wote, …

Anza Mwanzo wa Wiki kwa Ushindi

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ni siku ya pekee, pia ni mwanzo wa wiki kwa ajili ya kuendelea na majukumu ya kila siku, pumzi na afya mwilini mwako ni zawadi ya pekee toka kwa Mungu, Tumia nafasi hii kwa ajili ya kujifunza, kujiboresha na kujiendeleza kila siku. Mwanzo wa wiki umeanza na …

Bado Darasa la ‘Jifunze Kukaa Chini Kuhesabu Gharama’ Linaendelea

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, siku zinaendelea kuendelea, jiulize mpaka sasa ni hatua gani? Umesogea. Leo ni fursa tena ya kujaribu, kufanya, na kuanza yale unasema nitaanza, lini utaanza ? Kama sio leo ? Kesho ina mafumbo, leo iko mikononi mwako, ni maamuzi yako, Muda ni sawa kwa wote, matumizi ni kazi kwako, …

Usiliache Jiwe Mpaka Umepata Picha

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ni siku ya pekee sana, shukuru kwa pumzi na afya kwa Muumba. Ukurasa mwingine umefunguliwa andika kitu maana ukifungwa huwezi tena kuufungua tena, jaza ukurasa huu mambo yanayounganisha hadithi yako nzuri ya maisha. Muda ni rasimali adimu haihuzwi popote pale duniani, ukipotea huna namna ya kurudisha upotevu …

Kabla hujasambaza Chochote fikiri haya Mambo 3

Habari Mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ni siku nyingine mpya kabisa, kama jana uliiona leo mbali, leo ipo mikononi mwako, Mshukuru Mungu kwa uzima na afya tena ya kupambana na kuendelea na mipango na maboresho katika maisha yetu, Muda ni wa thamani sana tusije kusahau hili, na unaenda haurudi ukishapotezwa, Ni wajibu wetu …

SHAIRI: NASIKITIKA HADUMU, RAFIKI YANGU UJANA

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ni siku ya pekee tena katika kurasa nyingi za maisha, ni neema na shukrani kwa Mungu kupata siku njema kama hii, Muda ni rasimali adimu yenye ukomo hivyo ni muhimu kutumika vizuri kwa kuwa hakuna akiba wala nyongeza ya potezo la muda, anza vizuri siku yako ni …

CHANGAMOTO ZINAZOKWAMISHA VIJANA TANZANIA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUWEKEZA

Habari mfuatiliaji wa blogu hii, ni wakati mwingine wa kuendelea na tafakari juu ya maeneo ambayo kijana mtanzania anaweza kuwekeza katika karne hii ya 21, na ikawa ni chachu ya kusogeza gurudumu la maendeleo mbele, licha kuwepo na fursa hizi zipo changamoto zinazokwamisha vijana kuchukua hatua na kuwajibika katika kunufaika nazo Nikushirikishe machache kwa kuyaona kuwa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started