Habari mfuatiliaji wa blogu hii, leo ni siku njema na ya pekee ya kuendelea na mapambano katika malengo yetu na ndoto zetu, kuwa na pumzi ni neema ya kumshukuru Mungu sana, hivyo nafasi hii ya uzima si ya kupuuza, ila ni kuipa heshima kwa kutumia muda vizuri na kuwa chachu ya mabadiliko katika nyanja mbalimbali …
Continue reading “MAENEO 10 YA FURSA KWA VIJANA TANZANIA KUWEKEZA”