Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, nikupongeze kwa jitihada na juhudi zako kila siku za kujifunza hata kama sio hapa,.kwingineko ikiwa wapata maarifa na ukayatendea kazi basi kwangu ni furaha kuona unapiga hatua zaidi. Ashukuriwe Muumba aliyetupa mwezi wa nane na leo ni tarehe ya mwisho wa mwezi huu. Huu ni wakati pekee wa …
Continue reading “141: Beba Kauli Moja Unapoingia Mwezi wa Tisa Ili uwe wa Kitofauti Kwako”