122: MAMBO 25 NILIYOJIFUNZA KITABU STAYING ON TOP WHEN YOUR WORLD’S UPSIDE DOWN

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, pole na hongera kwa majukumu yako kila siku. Jioni hii ni wakati wa kuendelea na kutazama namna gani ya kuzidi kuwa bora. Kama kuna sehemu mambo hayakwenda vizuri leo nafasi bado unayo ya kuboresha, Karibu tushirikishane katika kitabu cha Mwandishi Joe Tye na waandishi 123 waliokifanikisha kitabu hiki …

121: MAMBO 25 NILIYOJIFUNZA KITABU GOALS by Brian Tracy

Habari yako msomaji na mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, pole na majukumu ya kazi zako, na nikupe hongera ulipoweza kufanikiwa leo hii, uliposhindwa na kuona kesho ipo angalia isije kukudanganya ukachelewa kufika utakako. Karibu nikushirikishe yaliyo katika kitabu hiki. Malengo ni shauku ya kila mmoja iwe ni nia ya dhati kuwa ifikapo mwezi fulani …

120: MAMBO 25 NILIYOJIFUNZA KITABU The PhotoReading Whole Mind System By Paul R. Scheele, M.A

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, bila shaka siku yako imeenda vizuri sana na kama kuna jambo tena limekukwamisha nafasi bado unayo ya kuweka mambo sawa, Mwandishi Paul R. scheele ni mbobezi wa masuala yahusuyo ujuzi wa kujifunza na kusoma kwa mbinu hii ya mahusiano ya Kuweka Picha kati ya Macho na akili wakati …

119: MAMBO 25 NILIYOJIFUNZA KITABU USE YOUR HEAD By Tony Buzan ( Tumia Kichwa Chako )

Karibu Rafiki, Ndugu na Msomaji wa blogu hii kila siku, ni Jambo la kumshukuru Mungu kupata nafasi ya kushirikishana machache kila siku, ili maisha yetu zaidi kuwa bora zaidi. Pole na Majukumu yako ya Kazi, Ulipoweza hongera sana na uliposhindwa bado nafasi unayo sasa. Leo karibu nikushirikishe Mambo 25 kutoka kwa Mwandishi mbobezi wa taaluma …

118: MAMBO 25 NILIYOJIFUNZA KITABU ‘A COURSE IN LIGHT SPEED READING By Joseph Bennette

Karibu mfuatiliaji wa Blogu hii kila siku, Pole na Majukumu yako ya Siku Bila Shaka siku yako leo umejifunza mambo mengi sana. Leo nikushirikishe mambo niliyopata kujifunza katika kitabu cha A Course In Light Speed Reading ikiwa na maana ya (Kozi katika Usomaji wa Haraka). Hiki ni kitabu kinachotoa mwongozo na mbinu za kumsaidia msomaji …

117: Kuna Maisha Baada Ya Wikiendi, Jipe Tathimini Kidogo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, nikupongeze sana kwa ajili ya wikendi yako, huenda umejifunza mengi na pengine pia kuna mahali umefeli. Huu ni wakati wako wa kuendelea na kujitathimini vizuri kuona unaanzaje wiki nyingine tena. Muda ni rasimali sawa kwa wote hakuna aliyeongezewa masaa au dakika. Karibu tushirikishane machache ili kujiboresha kila siku …

116: Muda haurudi Tena, Fedha Utapata Tena

Habari mfuatiliaji wa blogu hii, bila shaka ni ukurasa mpya tena wa maisha umefunguliwa kuendelea na safari ya maisha, Mshukuru Mungu kwa nafasi ya pekee sana ya kuona siku hii, kuheshimu hili nenda katika kutunza Muda na kuwekeza kwa ajili ya ndoto yako, Muda ni rasimali adimu sana kupoteza ni kuipoteza sehemu ya Maisha yako …

115: Kifaranga Yaini

Salamu ya Leo Uhali Gani? Ndugu na Mfuatiliaji wa Blogu hii, leo nakutakia salamu ya Siku yako ikawe yenye Mafanikio na Kupiga Hatua zaidi, Bila Shaka umepata nafasi ya Pumzi na afya ya kuendelea na kujiboresha Karibu nikushirikishe Utenzi huu, na Asubuhi yako ikawe njema sana Utenzi: Kifaranga Yaini Ni kweli natamani kutoka Ndani nikihangaika …

114: Maisha yetu yanajengwa Hapa uamkapo na Urudipo Kulala

Pole na Majukumu yako ya siku, bila shaka unaendelea vizuri kiafya. Maana afya ni jambo la muhimu sana licha ni kweli utakutana na misemo pambana na hali yako, ila afya ni kila kitu. Mshukuru Mungu kwa nafasi hii ya jioni. Unaweza ukawa ni shahidi ni namna gani siku yako ilikwenda, Kama kuna sehemu paligoma nafasi …

113: Ukiangalia Kiundani Sana Utakuta Wewe Ndio Kikwazo cha Kusogea Mbele

Habari za Jioni Mfuatiliaji wangu, Pole na Majukumu ya kazi zako, wewe ni shahidi namna siku yako ilikwenda toka asubuhi na sasa giza likaribu kuingia. Huenda ulisema mengi kuwa ifikapo jioni ningefanikisha jambo fulani, na ukawa umefeli kwa sababu nyingi pengine ni wewe, Jaribu kupima kiundani mwenyewe. Kama mambo yalikwendea vizuri basi jipange na kujiboresha …

Design a site like this with WordPress.com
Get started