Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kuona siku nyingine ni nafasi ya pekee sana kumshukuru Mungu kwa kuheshimu muda ulopata na nguvu na pumzi katika kujiboresha na kujiendeleza kila siku. Safari hii ya kujiboresha haijaisha bado inaendelea kila siku pasipo kukoma. Muda ndio rasimali muhimu sana ikienda huwa hairudi tena, itunze sana itakutofautisha na …
Continue reading “149: Zijue Sababu 3 Kwanini? Upate Muda Wa Faragha Katika Maisha Yako”