Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwa nafasi ya pekee ya uzima na afya. Muda huu unaopatikana ni wa pekee mno na unastahili kupewa heshima kubwa sana kwa kutumia vizuri kila lisaa na siku. Karibu katika mwisho wa mwezi huu wa kumi kiwa tarehe 31/10. Karibu tushiriki neno …
Continue reading “198: Neno la Shukrani Mwisho wa Mwezi Oktoba”