198: Neno la Shukrani Mwisho wa Mwezi Oktoba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwa nafasi ya pekee ya uzima na afya. Muda huu unaopatikana ni wa pekee mno na unastahili kupewa heshima kubwa sana kwa kutumia vizuri kila lisaa na siku. Karibu katika mwisho wa mwezi huu wa kumi kiwa tarehe 31/10. Karibu tushiriki neno …

197: Uchambuzi Wa Kitabu: BINADAMU NA MAENDELEO Na Mwl Julius K. Nyerere na Mambo 25 Niliyojifunza

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi na chambuzi za vitabu mbalimbali ili kujenga fikira zetu kwa maeneo tofauti ya maisha ya mwanadamu. Nafasi ya kuwa na pumzi na muda ni ya pekee na kumshukuru sana Mungu. Lazima tutambue kuwa hazina ya Mwl Nyerere katika taifa hili ni kubwa sana hasa maandiko yake, …

196: Kinyama Kinonile Haudodo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee kwetu kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya na nafasi ya Muda kwetu. Muda ndio rasimali muhimu sana kwetu kuheshimu na kuitumia kwa uzuri sana. Na ndio hutupa fursa ya sisi kujifunza na kujiboresha kila iitwapo leo. Karibu sana tuendelee kujifunza na …

195: Kipimo cha Kuelewa Jambo ni Kutenda

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila iitwapo leo ya tarehe husika ni siku ya pekee mno kuweka nguvu na kujiendeleza kwa kila hatua yako. Nafasi hii pia ya pumzi ni ya pekee sana kuheshimu na kuendelea kujiboresha kila siku. Nayo safari ya kujifunza haijaisha, bado ikiendelea kwa ajili ya mtu kusonga mbele zaidi, …

194: Mambo 26 Niliyojifunza Kwa Siku 26 za Mwezi Oktoba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya kumshukuru sana Mungu, na kutumia muda wetu vizuri ni njia ya kuheshimu nafasi na fursa hii ya kuwa na pumzi ndani yetu. Mwezi ulianza na sasa Mwisho waelekea katika Kuisha Kwake, Karibu tushirikishane mambo niliyojifunza mwezi huu wa Kumi kwa pamoja …

193: Jizoeshe Kuandika Ulojifunza na Kuchukua Hatua

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya pekee na kumshukuru Mungu sana. Na kila siku ni maarifa ndicho chakula chetu cha kulisha bongo zetu na tukapiga hatua kila siku. Safari ya kujifunza inaendelea kila siku pasipo kuchoka wala kuacha. Tuendelee kujifunza kila siku kwa kuwa bora zaidi ya …

192: Ishi Maisha kama Mchezaji na Mtazamaji

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana yakutupa nguvu na kuona ni fursa ya kumshukuru Mungu sana kwa pumzi na uzima. Hata ikiwa ni masaa machache ukayawekea jitihada na umakini yatosha asilimia yake 20% kukupa Matokeo Makubwa sana kwa siku yako. Muda huu tulonao ni rasimali ya pekee sana …

191: Ushindi wa Ijayo, Maandalizi Leo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya pekee kumshukuru Mungu. Na nafasi hii inatupa kujifunza na kujiboresha pasipo kusahau kuwa na moyo wa shukrani kwa ajili ya kuona wakati mwingine. Muda ni rasimali adimu inayotupa nafasi ya namna kuitumia au wengine kuipoteza pia. Karibu …

190: Pata Muda wa Kufanyia Kazi Maarifa

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee na zoezi la kuendelea kujifunza ni la kila siku. Tunamshukuru Mungu atupaye nafasi ya uzima na afya kuona siku mpya. Kama ilivyo nyumba hujengwa kwa matofali na msingi imara si zaidi maisha yetu kujengwa katika kanuni na misingi bora kuimarisha maisha yetu, karibu …

189: Dunia haitaacha Kuwa na Matukio

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee ya sisi kwenda kuweka juhudi na kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya tena. Leo ikiwa ni siku ya 20/10/2017. Kuna mengi katika siku hizi ishirini umejifunza na kuchukua hatua zako. Hata kama ni ndogo zina maana kubwa sana kwako. Karibu tuendelee …

Design a site like this with WordPress.com
Get started