Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku hutupa ruhusa ya kujifunza na kujiboresha, Nafasi hii ya pamoja na uzima ni ya kumshukuru Sana Mungu. Siku ianzapo na pale iishapo hutufundisha mengi sana ikiwa umekaa katika mkao wa kujifunza. Moja ni fundisho la kuwa Muda ni Ukuta, hata ingekua kazi vipi imekua njema na …
Continue reading “188: Tafuta Maana Sahihi ya Vitu Itakusaidia”