260: Kwaheri Mwaka 2017, Karibu Mwaka 2018

Hongera rafiki, nakupa hongera kwa safari hii kubwa na ndefu kwa mwaka mzima na siku zake, na masaa yake. Inatia faraja sana kumaliza mwaka na kuufikia, hata kama mambo yalikuwa magumu na kukatisha tamaa njiani. Ila kuwa mzima wa afya na kupata muda huu wa leo siku ya mwisho kwa mwaka inatia hamasa na furaha …

259: Nafasi ya Mwisho ya Zawadi kwa Ajili Yako Mwaka 2018

Habari Rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Leo ni siku ya pekee sana tena ya kumshukuru Mungu na kuendelea na kujiboresha na kuwekeza nguvu katika unachokifanya. Pia ndio siku za mwisho mwisho kwa mwaka huu 2017. Karibu kwa mara ya mwisho juu ya nafasi za …

258: Kwanini Zawadi hizi Muhimu Kwako kwa Mwaka 2018

Habari Rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa ya kuchukua hatua kila siku. Kila siku ni zawadi ya pekee sana ikipita leo hairudi tena maishani, hivyo mshukuru Mungu kwa nafasi hii ya Uzima, Afya, nguvu na Muda, Maamuzi ni Sasa, kuanza ni sasa na mabadiliko ni hatua …

257: Nafasi ya Kesho na Kesho Kutwa Kwa Zawadi Mwaka 2018

Habari rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Leo ni siku ya pekee kuanza, wakati wengine waona haina uzito wewe ni nafasi kwako kuitumia kuwa bora na kujifunza kwa juhudi. Nafasi ya Uhai na Muda ni pekee sana huwa ni maramoja kuwepo …

256: Mambo 27 Nilojifunza Mwezi wa Mwisho kwa Mwaka 2017

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, katika chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua. Nikupongeze sana kwa kuwa pamoja kwa kipindi hichi cha mwaka 2017 kuanzia januari na mpaka sasa disemba wiki la mwisho kwa mwaka huu. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwa nafasi ya Uhai na Muda kwa Miezi hii 12 …

255: Hii ndio Namna nzuri ya Kufaidi Maarifa Vitabuni.

Habari rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Kila siku ni zawadi ya kipekee ukiitumia vizuri Muda na nafasi ya Uhai Ambayo tunamshukuru Mungu kuzipata. Huu ni wakati mzuri sana wa kuendelea kujifunza na kuchukua hatua siku zote nafasi hizi tunapokuwa nazo …

254: Sipoteze Chote Ulichokitafuta Mwaka mzima mwishoni.

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Mwisho wa mwaka ni kipindi ambacho watu wengi hujumuika pamoja na kusherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya pia. Nafasi ya kuwa na muda sasa pamoja na Uhai ni jambo la kumshukuru sana Mungu. Muda ndio …

253: Usiibe Muda Wako Kwa Staili Hii Mwaka 2018

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua. Kila siku ni zawadi katika maisha yetu na zawadi ya Uhai na Muda ni za kuheshimiwa na kumshukuru Mungu. Na nafasi hii ya kuelekea ukingoni katika mwaka huu 2017 kuna jambo muhimu sana katika kuziheshimu zawadi hizi ambazo …

252: Usipoteze Fedha hii Mwaka 2018

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Kila siku ni ya pekee sana kutunzwa na kuwekewa nguvu kubwa sana. Na tunapoelekea kipindi cha mwisho wa mwaka 2017, tusisahau kuwa na shukrani kwa Muumba kwa nafasi hii ya uhai na muda ambao tulipata kwa …

251: Ukomo wa Zawadi Kwa Mwaka 2018

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa za kuchukua hatua niendelee kukupongeza kwa unayeendelea kuchukua hatua kidogo kidogo licha kwamba ni mwaka upo ukingoni 2017 kuelekea 2018. Ni nafasi ya kumshukuru Mungu kwa nafasi hii ya pekee sana ya Uhai na Muda. Karibu tushirikishane juu ya zawadi hizi …

Design a site like this with WordPress.com
Get started