Habari Rafiki, Wiki inapoishia na kuingia wiki nyingine tena ya mwisho kwa mwezi huu Januari. Ni muhimu kuendelea kujipa tathimini kubwa nje na ndani ya ratiba za kila siku, na moja ya eneo Kubwa sana Katika kujipa tafakari ya kina sana ni namna ya kauli zetu na namna tunavyokiri kila siku. Hii ndio tafakari ya …
Monthly Archives: January 2018
277; Mambo 5 nilojifunza wiki ya tatu ya Mwezi Januari 2018
Habari, Kila siku muda huenda na hukimbia katika macho yetu. Kila siku huwa ni kama zawadi ya kipekee sana Mungu atupayo inayohitaji sisi kutumia kwa ubora ili kufikia malengo na hata kuzifika ndoto zetu tulizokuwa nazo na hamasa kubwa ikajengeka pale tulipoona katika saba ya 2017 imetoka na kuwa ni 8 kuitwa Mwaka 2018. Na …
Continue reading “277; Mambo 5 nilojifunza wiki ya tatu ya Mwezi Januari 2018”
276; Hamasa Itadumu kwa Kuendelea Kufanya Jambo hili.
Habari Rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi, chambuzi za vitabu na hamasa ya kuchukua hatua. Kila Mtu hupenda kuona akiendelea na jambo lake na mpaka hatua kubwa ya kufanikisha. Wengi huanza na mipango mingi siku hadi siku hamasa zao huishia njiani na hurudi katika hali ya umazoea. Pia huenda hata mwezi …
Continue reading “276; Hamasa Itadumu kwa Kuendelea Kufanya Jambo hili.”
275; Ujasiri ni Nusu ya Ushindi
Lionekana kama mtu aliyechoka sana na kuonyesha dalili ya kushindwa na pambano, licha upande wa pili alikuwa bado ana hamu kubwa sana ya kuendelea kuzirusha ngumi zaidi kwa kwake. Hata walokuwa nje ya ulingo walishaona Nani wa kuchukua Ushindi,ni wazi kwa kila aliyekuwa na macho katika pambano lilokuwa na watu wengi kuliko mapambano yalowahi kutokea …
274; Hatua zako Zinapoanza kuwa na Changamoto Jua ndio Ukuaji umeanza kuvutia
Kila mtu hupenda kuona akipiga hatua siku hadi siku, hata kama ni hatua ndogo ndogo zenye mwendelezo hamasa hutengenezeka na kubwa zaidi ni msingi wa nidhamu unajiimarisha kila iitwapo Leo. Hivyo nikupe Hongera sana Rafiki kwa hatua ambazo umekuwa unaendelea nazo kwa nafasi hii ya uzima na muda Mungu katujalia. Jiboreshe katika hatua zako ndogo …
Continue reading “274; Hatua zako Zinapoanza kuwa na Changamoto Jua ndio Ukuaji umeanza kuvutia”
273; Ona Mbali zaidi ya Uonavyo Leo
Habari Rafiki bila shaka umeamka salama na u mzima, Tunamshukuru Mungu kwa nafasi hii ya uzima na Muda. Tujikumbushe kuwa kuna namna nzuri sana huvutia kwa kuona ndege kama tai arukaye juu sana na namna anavyoweza kuona chini na kupata mawindo Yake. Ni uwezo mkubwa sana wa kuona unaompa tofauti kubwa na ndege wengine, uwezo …
272; Hii ndio Faida Moja kubwa ya Maarifa Vitabuni
Habari Rafiki na mfuatiliaji wa blogu hii ya Figa la ushairi, chambuzi za Vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Kila siku huwa ni siku ya kipekee sana ya kuchukua hatua na kuwa na wakati mzuri sana wa kujiboresha hatua kwa Hatua. Na nafasi ya uhai na muda ni nafasi za pekee sana za …
Continue reading “272; Hii ndio Faida Moja kubwa ya Maarifa Vitabuni”
271: Uchambuzi wa Kitabu ~ YOU CAN WIN by Shiv Khera (Unaweza Kushinda)
Habari, Karibu katika kufaidika na maarifa chimbo la vitabu kwa kitabu bora sana cha mwongozo wa hatua kwa hatua kuelekea mafanikio kwa kujumuisha mambo 8 muhimu ambayo mwandishi Shiv Khera kutushirikisha uzoefu wake namna mafanikio sio bahati au ajali. Ila ni mkusanyiko wa hatua na mbinu zinazotumika ili MTU afanikiwe. Hichi kitabu cha kumpa MTU …
Continue reading “271: Uchambuzi wa Kitabu ~ YOU CAN WIN by Shiv Khera (Unaweza Kushinda)”
270: Usipuuze Hatua Ndogo ndogo kwa Kuwa Hazileti Matokeo ya Haraka Utakayo.
Salaam Rafiki na Msomaji wa blogu hii kila siku katika kujiboresha katika maisha ya kila siku, kwa kuwa na wasaa pia wa chambuzi za Vitabu na hamasa za kuchukua hatua kila siku. Nafasi hii tena uzima na muda ni ya kipekee sana kwenda kuwa watu bora sana na kumaliza siku yetu leo kwa Ushindi mkubwa …
Continue reading “270: Usipuuze Hatua Ndogo ndogo kwa Kuwa Hazileti Matokeo ya Haraka Utakayo.”
269: Kauli Tupo Wengi, Kiuhalisia U Peke Yako.
Habari Rafiki na Msomaji wa blogu hii kila siku, niombe radhi Kwa kukosekana kwa makala Siku ya Jana kwa sababu zilizokuwa ndani ya uwezo wangu. Leo ni Siku ya kipekee tena ya nafasi ya uzima na afya Mungu katujalia kuifika ili tuendelee na hatua zetu, wakati wengine hawachukui hatua wewe Rafiki anza sasa kuchukua hatua. …
Continue reading “269: Kauli Tupo Wengi, Kiuhalisia U Peke Yako.”