Ni rahisi katika maisha kuanzisha vitu vingi na kumaliza hadi mwisho wanaomaliza hubakia wachache. Kuanza ni kama vile unavyokuwa na hamasa siku ya kwanza ya kitu. Lakini kadri siku zinavyokwenda unajikuta hamasa haina nguvu tena bali kinachobakia ni nidhamu pekee yake. Maisha yanataka uwe na nidhamu ya kumaliza ambacho umekianza. Ushindi na pongezi ni vile …
Continue reading “607: April 26, Kila unapotaka kuacha ulichokianzisha kumbuka sababu ya kukianza.”