Napenda kuandika, najisikia utoshelevu kuandika, sitaacha kuandika. Kuandika kunanirudisha katika kina cha mawazo, kunanipa nguvu nisiyoweza kuelezea. Uandishi ni alama ambayo itabaki na kunipita miaka mingi kuishi zama hadi zama. Vile tusomavyo leo maandishi ya watu waloishi miaka zaidi ya 2000 basi ndivyo ilivyo alama ya uandishi hudumu vizazi hadi vizazi. Nami nashukuru kuwa katika …
Continue reading “Somo la maisha yangu yalopita- LEO NI NYEPESI ILA SIO KESHO”