Somo la maisha yangu yalopita- LEO NI NYEPESI ILA SIO KESHO

Napenda kuandika, najisikia utoshelevu kuandika, sitaacha kuandika. Kuandika kunanirudisha katika kina cha mawazo, kunanipa nguvu nisiyoweza kuelezea. Uandishi ni alama ambayo itabaki na kunipita miaka mingi kuishi zama hadi zama. Vile tusomavyo leo maandishi ya watu waloishi miaka zaidi ya 2000 basi ndivyo ilivyo alama ya uandishi hudumu vizazi hadi vizazi. Nami nashukuru kuwa katika …

Makala ya uchambuzi wa kitabu; Embracing Life After Loss by Allen Klein (Maisha baada ya kuondokewa)

Maisha ni zawadi pale ambapo watu huendelea kuishi. Ila wanapoondoka na kuwa mbali nasi kwa njia ya kifo na kutokuwa na matumaini ya kuwaona tena ndipo maisha hugeuka na kuonekana ni mateso na maumivu yasoweza kuelezeka. Ila kupoteza watu wetu wa karibu ni jambo lisiloweza kukwepeka maishani. Maana hata sisi siku moja tutaondoka na kuwaacha …

Mahojiano; Sam Vidambu kutoka Kenya

Karibu tujifunze pamoja rafiki, Dunia inakua haraka tofauti na miaka 500 ilopita. Uwepo wa ukuaji wa mitandao ya kijamii kumeleta manufaa makubwa ya kujenga mtandao wa marafiki, walimu, menta kupitia mitandao ya kijamii hasa majukwaa ya mtandaoni kama “Whatsapp”. Mwaka huu nilikutana na ndugu Sam Vidambu kwa kuunganishwa na rafiki yangu Deviano ambaye naye tulionana …

Muziki na ucheshi huibua chemchemi ya furaha ndani yetu.

Habari rafiki yangu unayeendelea kujifunza kila siku bila kuacha. Uwekezaji unaojiwekea sasa wa kujielimisha ni akiba na marejesho yatakayokuwa na faida kwako siku zijazo. Endelea kuupenda ubongo na akili yako kwa kulisha maarifa na taarifa zenye kukufanya uwe bora kila siku. Liwe lengo lako mama kwa mwaka unaoenda kuanza 2020 kuwa utajielimisha zaidi na kuwekeza …

Design a site like this with WordPress.com
Get started