Zama tunazoishi sasa na matukio tunayopitia maishani si mageni kuwa watu walokuwa kabla yetu hawakupitia. Maisha yao na yetu sasa ni mzunguko wa mambo yale yale yanayoendelea kumkumba mtu katika maisha yake. Hili ndilo linalofanya maisha yahitaji ujasiri na ustahimilivu kuyaendesha na kukabiliana na kila aina ya changamoto mtu atayoweza kupitia. Changamoto zinazomkumba mtu katika …
Continue reading “Ujasiri ni kuinuka tena katika anguko- “Anza upya’’”