Asili yetu sisi binadamu ni kupata faraja tunapokuwa katika hali zile ambazo tumezizoea na huwa kazi ngumu na safari isofurahisha pale tunapotaka kufanya mambo nje na mazoea yetu ya kila siku. Utaona namna ilivyo ngumu kwa mtu ambaye si mazoea yake kuamka asubuhi ilivyo kazi kwake kuamka asubuhi. Utaona namna ilivyo kazi kwa mtu asiye …
Continue reading “Utakutana na ugumu unapoamua kuanzisha hatua mpya- VUMILIA”