Matatizo yanayotokea kwa mtu huficha uzuri wa mambo mengi ambayo mtu anaendelea kuwa nayo. Ni kweli mtu kaingia katika matatizo ya madeni au kapoteza kazi ila ni mzima wa mwili, yupo hai na ana watu wanaomzunguka. Ila akipitia katika hayo magumu basi anasahau uzuri wa maisha na fursa nyingine ambazo bado hajazipoteza. Hatupaswi kuzibwa macho …
Continue reading “Mwaliko wa kushukuru kila iitwapo leo- “Uhai ni Zawadi””