Mwaliko wa kushukuru kila iitwapo leo- “Uhai ni Zawadi”

Matatizo yanayotokea kwa mtu huficha uzuri wa mambo mengi ambayo mtu anaendelea kuwa nayo. Ni kweli mtu kaingia katika matatizo ya madeni au kapoteza kazi ila ni mzima wa mwili, yupo hai na ana watu wanaomzunguka. Ila akipitia katika hayo magumu basi anasahau uzuri wa maisha na fursa nyingine ambazo bado hajazipoteza. Hatupaswi kuzibwa macho …

Utapata ugumu mwanzoni tu – “Jikaze umalize ulichokianza”

Uendelevu katika kufanya mambo maishani ni hali ngumu kwa watu wengi sio wewe peke yako unayepitia. Kuanza kitu kunaweza kuwa kwepesi na kazi ikaanza pale unapotakiwa ulichokianzisha ukiendeleze kila siku. Nimeona hili katika maisha yangu, nimejifunza katika mazingira yanayonizunguka na nimejifunza kwa watu pia. Mfano rahisi ni pale unapoona nyumba nyingi mtu kaanzisha msingi ila …

Ukuaji wa maisha ni katika kuvuka vitu navyohofia kuvifanya- Jenga UTHUBUTU.

Wakati naanza kuandika mitandaoni siku za mwanzo mwanzo nilikuwa sijajua kuwa namna vile nilivyohofia ndivyo vilivyofungua njia ya kufanya makubwa zaidi. Nilianza kama mwandishi wa makala fupi fupi tu na mashairi. Ila muda ulivyosogea nilianza kuchambua vitabu na kuwashirikisha watu na kufikia zaidi ya idadi ya vitabu vipatavyo 60 na zaidi nilivyovifanyia uchambuzi na kuwashirikisha …

Design a site like this with WordPress.com
Get started