Mambo mazuri ni magumu kuyafanya – ‘Jitoe kuyafanya yana Tija”

Nikiwa katika tafakari nazozifanya kila siku ya maisha yangu, huwa nafikirishwa na pande mbili za mambo. Mambo mazuri na mabaya, Mambo mazuri tunayotamani kuyafanya maishani hutupa taabu kuyafanya ingawa yamebeba manufaa na wakati huo huo mambo mabaya huja kiwepesi na kukaa nasi iwe kazi kuyaacha. Tafakari hii inayaakisi maisha yangu na maisha ya watu wengine …

Vikubwa vyote hukua toka vidogo

Haba na haba hujaza kibaba ni moja ya methali yenye kubeba uzito mkubwa wa umuhimu wa kupiga hatua ndogo ndogo maishani kufikia vitu vikubwa. Hakuna kitu kidogo ambacho kikifanywa kwa uendelevu kikakosa kuwa na nguvu au kuzalisha matokeo makubwa. Iwe ni kitu kizuri au kibaya kikifanywa katika uendelevu huleta athari baada ya muda. Hili ndilo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started