Nimechagua kuandika hata kama nitapitia changamoto ngumu basi nitaweza kujisukuma niendelee kuandika na kushirikisha maarifa. Kuandika kunanipa msukumo mkubwa kuhakikisha yale nayoyafahamu naweza kuandika na kushirikisha wengine katika nyakati zote. Kuandika kupitia mitandao ya kijamii nimeanza toka mwaka 2017 ambapo nimekuwa najisukuma kuandika na kushirikisha yale nayoyafahamu, nilowahi yapitia na yale ninayojifunza kila siku. …
Continue reading “ANZA 14; Tafuta Kitu Kimoja Hata Ukikata Kabisa Tamaa Utaendelea Kukifanya”