Maisha ni darasa pana ambalo kila siku halituachi kutufundisha mambo mengi. Masomo makubwa katika maisha ambayo yanaweza kufanya maisha kuwa bora na imara ni kuwa mvumilivu, kuwa mtulivu na kuwa na ustahimilivu. Hivi vyote katika umoja vinayapa maisha kuwa na msingi imara. Uvumilivu ni pale ambapo unapokuwa tayari kuvuta subira katika unachokifanya ukiwa na imani …
Continue reading “Uvumilivu, Ustahimilivu na Utulivu – “Maisha yenye Uimara””