Unajua ni kwa namna gani ndoto ya mtu mmoja inaposhindwa kutimizwa si inamnyima mtu fursa ya kuifikia bali inawakwamisha maelfu ya watu ambao huenda maisha yao yangekuwa bora kwa mtu mmoja kuweza kutimiza maono au ndoto yake. Mtu anapokata tamaa kuendelea na kile alichokianzisha anafunga njia kwa maelfu ya watu nyuma yake. Kukata tamaa ni …
Continue reading "ANZA 5; Usikate Tamaa, Ukikata Tamaa Walio Nyuma Yako Watakwama."