Habari Rafiki naamini unaendelea na hatua zako bora sana. Kila siku tunapoteza sehemu ya maisha yetu, nguvu zetu na kingine umakini wetu. Rasimali kama nguvu ni kuhifadhi sana kwa kuepuka habari hasi na watu wanaokatisha tamaa. Huku umakini unaulinda kwa kuilinda akili yako isitoroke toroke kwa kujua ambacho unakifanya kwa wakati huo. Ukiweza kuhifadhi rasimali …
Continue reading "523; January 26, Unachofikiri ni tatizo sio tatizo ila tatizo kubwa ni wewe"