Habari Rafiki ambaye huachi kujifunza kila siku ukijua wazi kuwa bila kujifunza hakuna ukuaji na ukikosekana ukuaji hakuna maendeleo. Hongera kwa hii hatua nzuri ambayo unajisukuma kupiga hatua zaidi ya ulipokuwa jana. Karibu katika kujifunza tena katika yale ambayo yanatutokea, tunayaona na yalikwisha kutokea. Unapokuwa katika wakati mgumu au wakati wenye wingi wa changamoto utaona …
Continue reading "513; January 13, Mambo hayakai yakadumu hufika wakati hupita."