Maisha ni wajibu mkuu wa kila mtu aliye mtashi kukubaliana na ukweli kuwa "maisha ni matokeo ya uwajibikaji wetu kwa namna fulani". Wajibu huu unatupa kutualika kwa kila matokeo ambayo tunakutana nayo maishani basi kwa sehemu tumechangia kuwa hivyo iwe twajua ama hatujui. Mambo hayabadiliki hadi pale sisi tunapobadilika kuyaona yalivyo. Himizo la kubadilika kwanza …
Continue reading "Wakati unapongoja mambo yabadilike, hayabadiliki hadi uwajibike."