343; Duka la Maarifa ~ Kitabu the Dip by Seth Godin

Habari Rafiki, ni siku nyingine tena ya kipekee Mungu katujalia kuwa na uhai na kupewa zawadi ya maisha ni jambo la kumshukuru sana Mungu. Wengi wangetamani kama ingetokea nafasi hii basi wangerudi kufanya hivyo lakini nafasi hiyo haipo. Lakini nafasi hiyo ya kufanya au kuchukua hatua ipo kwangu na wewe tungali na muda wa kufanya …

342; Kurasa za kitabu ‘The Obstacle Is the Way by Ryan Holiday’

Tafsiri; ( Kikwazo ndio njia 1~ 10 ) Habari Rafiki, ni wakati mwingine tena wa kuendelea kujifunza katika kurasa za vitabu. Na mwanzo wa wiki nyingine ni msingi wa wiki ya sasa umejipangaje na vivyo kesho ni msingi wa leo unavyoitumia. Vitabu vimekuwa ni njia rahisi sana ya kusafiri hata sehemu ambazo tusingefikiri kama tungefika, …

341; Tafakari ya kina, Ulipo kuna watu wamegharimika

Habari Rafiki, maisha yetu ni darasa lisiloisha kujifunza unapokuwa na nafasi ya uhai na muda. Kila siku kuna kitu fulani cha kujifunza kama utakuwa na maisha ya kujifunza. Kuna mambo mengi sana ambayo hutupita na kutapata katika maisha yetu hutupa mafunzo na masomo ya kuelekea katika kuyaelewa zaidi maisha siku hadi siku. Kujifunza kutokana na …

340; Kurasa 4 za Vitabu na Tafakari ya kina

Habari Rafiki, u hali gani?, nafasi ya sisi kuwa hai ni zawadi kubwa toka kwa Mungu kutupa nafasi ya kuendelea na pumzi. Karibu katika chumba cha maarifa tupate kuendelea kujifunza siku hadi siku. Kuna vitu vingi sana tunakosa Kwa kukosa kuwa na muda wa kujifunza katika vitabu. Vitabu vimejificha siri kubwa sana ya kusheheni maarifa, …

339; Chakubeba (Maisha yao, Maumivu, Magumu na Hatua za Kijasiri)

Kuishi ni Ujasiri. Kuwa hai na kuendelea kuishi ni kitendo cha kijasiri sana. Ndivyo ambavyo Maisha ya watu waliopo, walowahi kuwepo na hata ambao watakuwepo siku zijazo wataendelea kuyaona maisha kama darasa la kuendelea kujifunza kuanzia siku ya kuzaliwa hata siku ya mwisho wa pumzi. Maisha huenda mbali na kufananishwa na mchezo wa mieleka ambao …

338; Kitabu – The School of Money by Olumide Emmanuel

Namna ya Kutengeneza Utajiri. Watu wengi twapenda kupata utajiri au uhuru wa kifedha kwa sababu tofauti tofauti, lakini kinachokosekana ni kufahamu njia zipi za kuzifuata kufikia utajiri huo. Na si tu kwa eneo la kifedha hata maisha mengine pia yanahitaji kufahamu namna gani kufikia huko. Kwa kila mmoja atakayekuwa katika safari ya Uhuru wa kifedha …

337; Hekaya za Kale, Mvivu Kuliko wote ndiye atakayekuwa Mfalme.

Likuwa kawaida yake akichoka, basi huelekea Katika Kavazi lake na kisha hubeba kitabu chochote katika mikono yake; kufahamu hiki ni kitabu gani humkuta akiwa katika kuketi katika kiti chake cha siku zote. Alipenda kuzungukwa sana na wajukuu zake na awe msimuliaji wa yale katika kitabu alichokitoa katika kavazi lake. Basi siku ya leo alifanya vile …

336; Fanya washangaze kuwa unaweza kuwa mtu bora

Habari Rafiki, siku yako bila shaka imeanza vizuri kabisa. Kwanza nafasi ya uhai ndio thamani ya kiumbe hai, mshukuru Mungu kwa nafasi hii ya pekee sana. Leo ni siku uloingoja kuwa ungefanya mambo makubwa na hapo jana ulisema, kesho nitafanya kitu fulani, basi ndio hii ulonayo sasa, usingoje tena wakati mwingine wa kufanya kama sio …

335; Nyanyuka Uanze Tena

Habari Rafiki, bila shaka siku yako imekuwa bora sana na umeendelea kujifunza kila siku na kuweka nguvu katika kufanya katika ubora siku hadi. Tu tayari katika robo ya mwaka huu toka uanze na safari inaendelea, nafasi ya kuwa hai na kuwa mzima ni ya kipekee sana kumshukuru Mungu kila siku. Kama unaendelea kuchukua hatua basi …

334; Siku 90 za Mwaka Huu na Maswali 5 ya Kujiuliza

Habari Rafiki kwa siku mpya tena, na leo ni siku ya 90 toka mwaka huu uanze pale mosi ya Januari. Si jambo dogo hata kidogo safari hii ndefu ya miezi 3, kuna mengi sana yametokea kwa kipindi hiki ya kujumuisha mafunzo, visa, matukio, mikasa, changamoto na hata mafanikio. Jambo kubwa ni kumshukuru Mungu kama bado …

Design a site like this with WordPress.com
Get started