Kila mtu hupenda kuona akipiga hatua siku hadi siku, hata kama ni hatua ndogo ndogo zenye mwendelezo hamasa hutengenezeka na kubwa zaidi ni msingi wa nidhamu unajiimarisha kila iitwapo Leo. Hivyo nikupe Hongera sana Rafiki kwa hatua ambazo umekuwa unaendelea nazo kwa nafasi hii ya uzima na muda Mungu katujalia. Jiboreshe katika hatua zako ndogo …
Continue reading "274; Hatua zako Zinapoanza kuwa na Changamoto Jua ndio Ukuaji umeanza kuvutia"