224: KITABU ~The 12 TRAITS of THE GREATS na Dr. Dave Martin,

Sura ~ IMAGINATION ( Bringing your dreams to life ) Kurasa 83 ~ 112 Habari ya Siku Mpya? Karibu tena mfuatiliaji wa sura hizi za kitabu bora cha mwongozo wa tabia 12 za watu wakuu kikiwa na Jumla ya Sura 277 kilichoandikwa na Mwandishi Daktari Dave Martin. Leo tunaendelea Na sura ya 4 juu ya …

223: KITABU~ The 12 TRAITS of THE GREATS na Dr. Dave Martin,

Sura ~ PASSION ( The Engine that drives your Life ) Kurasa 57 ~ 82 Habari ya Siku Mpya? Karibu tena mfuatiliaji wa sura hizi za kitabu bora cha mwongozo wa tabia 12 za watu wakuu kikiwa na Jumla ya Sura 277 kilichoandikwa na Mwandishi Daktari Dave Martin. Leo tunaendelea Na sura ya 3 juu …

222: KITABU ~The 12 TRAITS of THE GREATS na Dr. Dave Martin

Sura ~ MINDSET ( Dealing with your belief system) Kurasa 39 ~ 56 Karibu tena mfuatiliaji wa sura hizi za kitabu bora cha mwongozo wa tabia 12 za watu wakuu kikiwa na Jumla ya Sura 277 kilichoandikwa na Mwandishi Daktari Dave Martin. Na sura ya pili juu ya FIKRA. Moja ya mtego mkubwa ulowakwamisha wengi …

221 KITABU: The 12 TRAITS of THE GREATS na Dr. Dave Martin

Sura ~ RESPONSIBILITY ( Taking ownership of yourself ) Kurasa 21 - 37 Hiki ni kitabu bora sana cha mwongozo wa tabia 12 za watu wakuu kikiwa na Jumla ya Sura 277 kilichoandikwa na Mwandishi Daktari Dave Martin. Na kinaanza na sura ya kwanza juu ya WAJIBU. Watu wote walioweza kufanya makubwa duniani walikuwa ni …

220: Nenda Hatua Zaidi Kila Siku

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku huwa ina nafasi yake ya upekee sana, na nafasi hii ni pamoja na pumzi ambayo Mungu anatupa ya kuwekeza nguvu katika kujifunza na kujiboresha kila siku. Na muda huu pia watupa kujipa tafakari ya mambo mengi katika maisha yetu kwa uhalisia wake. Karibu tuendelee kujifunza Kila …

219: MAMBO 31 NILIYOJIFUNZA KITABU BEFORE YOU DO ( Making Great Decisions That You Won’t Regret) Cha TD. JAKES

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Karibu katika chambuzi za vitabu nafasi ya uzima ni ya pekee sana kumshukuru Mungu. Karibu tuendelee kujifunza na kuchukua hatua, Moja ya jambo ambalo kila mtu hujuta ni katika matokeo ya kufanya jambo baadaye baada ya tendo hilo au kitu hicho. Ndipo Mhubiri na Mhamasishaji maarufu Td Jakes …

218: Ukishindwa Kula Kitu Kizima Kigawe kwa Udogo udogo wake

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee na ina kitu fulani cha kumsaidia mtu akajiboresha na kusogea hatua zaidi ya jana. Nafasi hii ya pumzi ni ya pekee sana kutumiwa kwa uzuri kila siku mpya ifikapo na ukapata nafasi ya kuwa hai. Na muda huu uliopo ni rasimali adimu sana …

217: Uvivu ni Tatizo Kubwa, Jikague Uone

Habari mfuatiliaji wa blogu ya figa la ushairi kila siku. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa ajili ya wikendi nzima na mwanzo wa wiki nyingine itaenda kuanza tena. Mzunguko huu wa wiki huenda na kurudi na hutufundisha mengi mojawapo ni nafasi ya Muda tunayopata kujiboresha au wengine hutumia pia kupoteza na kupuuza kabisa. Ila nafasi …

216: Si kosa Kujikumbusha Ulianzia wapi?

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana na ya kumshukuru Mungu kwa nafasi ya kuwa mzima na afya. Na nafasi hii ya uzima na muda si ya kupuuza au kubeza. Ni fursa pekee sana ya kujifunza na kuendelea kujiboresha kila inapoitwa leo, ni fursa ya mara moja tu ikienda …

215: Tunafungwa na Kauli zetu Katika Kufanya mambo yatokee

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ina upekee wake na kutumia nafasi ya muda kwa utulivu na maarifa sahihi ni ishara ya kuheshimu nafasi Mungu alotupatia ya uhai ndani ya mtu. Nafasi hii ni ya pekee na ya kuheshimiwa na kuwekeza katika yale yakupayo matokeo kutokana na ndoto zako na malengo yako …

Design a site like this with WordPress.com
Get started