Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni furaha kubwa sana unapojua kuna kitu katika maisha kinachokupa utoshelevu na kinachokupa sababu ya kutabasamu, basi mojawapo ni fani hii ya Ushairi. Namshukuru sana Mungu kwa nafasi ya pekee sana ya kipindi cha miaka ipatayo 9 sasa tangu mwaka 2008 nilipoanza kupendezwa na fani hii ya fahari …
Continue reading "214: Miaka 9 Katika Sanaa ya Ushairi na Mambo nayoendelea Kujifunza kila siku"