203: Mambo yape Muda Huku Ukiweka Jitihada

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana kwako kufanya kitu kinachokusogeza hatua moja hadi nyingine. Na nafasi ya uzima ni ya pekee sana kumshukuru Mungu, nafasi hii ni ya muhimu hasa katika kutunza muda wako kwa uzuri na ukasogea hatua moja hadi nyingine. Na safari ya kujifunza inaendelea kila …

202: Jitenge na Kelele, Tengeneza Muda Huu

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana kutumiwa kwa uzuri na kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya. Kama afya yako haipo imara nafasi ya kuwa mzima ni jambo la kusema asante kwa Rabuka. Kila siku husogea na nyingine siku huja na mrudio huendelea hivyo licha siku huwa …

201: Kila Siku Nenda Hatua kwa Hatua

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku kwako ni siku ya pekee sana huenda na hairudi nyuma zaidi ya kwenda mbele kila siku. Nafasi ya kuwa mzima na afya ndani yako ni fursa ya kumshukuru sana Mungu kwa nafasi hii, nafasi hii ni ya kutunzwa na kuwekeza muda wako katika maeneo yenye tija …

200: Hizi ndizo Faida 3 za kufanyia kazi ulichojifunza

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana kwetu kujifunza na zaidi kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya ndani yetu. Na nafasi hii ya pekee ni pamoja na zawadi ya Muda kwa ajili ya kuendelea kujifunza na kujiboresha zaidi ya jana. Kila siku itumie kwa uzuri wake na …

199: Shairi Beti 30 Kwa Siku 30 Mwezi Novemba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni mwezi wa pekee kabisa ukiwa ni mwezi wa pili kwa umwisho kwa safari ya mwaka huu 2017. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwa nafasi ya pekee sana ya kuona na kuwa na pumzi kwa mwezi huu tena. Karibu katika shairi la mwezi huu wa 11 ukiwa …

198: Neno la Shukrani Mwisho wa Mwezi Oktoba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu kwa nafasi ya pekee ya uzima na afya. Muda huu unaopatikana ni wa pekee mno na unastahili kupewa heshima kubwa sana kwa kutumia vizuri kila lisaa na siku. Karibu katika mwisho wa mwezi huu wa kumi kiwa tarehe 31/10. Karibu tushiriki neno …

197: Uchambuzi Wa Kitabu: BINADAMU NA MAENDELEO Na Mwl Julius K. Nyerere na Mambo 25 Niliyojifunza

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi na chambuzi za vitabu mbalimbali ili kujenga fikira zetu kwa maeneo tofauti ya maisha ya mwanadamu. Nafasi ya kuwa na pumzi na muda ni ya pekee na kumshukuru sana Mungu. Lazima tutambue kuwa hazina ya Mwl Nyerere katika taifa hili ni kubwa sana hasa maandiko yake, …

196: Kinyama Kinonile Haudodo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee kwetu kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya na nafasi ya Muda kwetu. Muda ndio rasimali muhimu sana kwetu kuheshimu na kuitumia kwa uzuri sana. Na ndio hutupa fursa ya sisi kujifunza na kujiboresha kila iitwapo leo. Karibu sana tuendelee kujifunza na …

195: Kipimo cha Kuelewa Jambo ni Kutenda

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila iitwapo leo ya tarehe husika ni siku ya pekee mno kuweka nguvu na kujiendeleza kwa kila hatua yako. Nafasi hii pia ya pumzi ni ya pekee sana kuheshimu na kuendelea kujiboresha kila siku. Nayo safari ya kujifunza haijaisha, bado ikiendelea kwa ajili ya mtu kusonga mbele zaidi, …

Design a site like this with WordPress.com
Get started