194: Mambo 26 Niliyojifunza Kwa Siku 26 za Mwezi Oktoba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya kumshukuru sana Mungu, na kutumia muda wetu vizuri ni njia ya kuheshimu nafasi na fursa hii ya kuwa na pumzi ndani yetu. Mwezi ulianza na sasa Mwisho waelekea katika Kuisha Kwake, Karibu tushirikishane mambo niliyojifunza mwezi huu wa Kumi kwa pamoja …

193: Jizoeshe Kuandika Ulojifunza na Kuchukua Hatua

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya pekee na kumshukuru Mungu sana. Na kila siku ni maarifa ndicho chakula chetu cha kulisha bongo zetu na tukapiga hatua kila siku. Safari ya kujifunza inaendelea kila siku pasipo kuchoka wala kuacha. Tuendelee kujifunza kila siku kwa kuwa bora zaidi ya …

192: Ishi Maisha kama Mchezaji na Mtazamaji

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana yakutupa nguvu na kuona ni fursa ya kumshukuru Mungu sana kwa pumzi na uzima. Hata ikiwa ni masaa machache ukayawekea jitihada na umakini yatosha asilimia yake 20% kukupa Matokeo Makubwa sana kwa siku yako. Muda huu tulonao ni rasimali ya pekee sana …

191: Ushindi wa Ijayo, Maandalizi Leo

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi kila siku. Nafasi ya uzima na afya ni ya pekee kumshukuru Mungu. Na nafasi hii inatupa kujifunza na kujiboresha pasipo kusahau kuwa na moyo wa shukrani kwa ajili ya kuona wakati mwingine. Muda ni rasimali adimu inayotupa nafasi ya namna kuitumia au wengine kuipoteza pia. Karibu …

190: Pata Muda wa Kufanyia Kazi Maarifa

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee na zoezi la kuendelea kujifunza ni la kila siku. Tunamshukuru Mungu atupaye nafasi ya uzima na afya kuona siku mpya. Kama ilivyo nyumba hujengwa kwa matofali na msingi imara si zaidi maisha yetu kujengwa katika kanuni na misingi bora kuimarisha maisha yetu, karibu …

189: Dunia haitaacha Kuwa na Matukio

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee ya sisi kwenda kuweka juhudi na kumshukuru Mungu kwa nafasi ya uzima na afya tena. Leo ikiwa ni siku ya 20/10/2017. Kuna mengi katika siku hizi ishirini umejifunza na kuchukua hatua zako. Hata kama ni ndogo zina maana kubwa sana kwako. Karibu tuendelee …

188: Tafuta Maana Sahihi ya Vitu Itakusaidia

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku hutupa ruhusa ya kujifunza na kujiboresha, Nafasi hii ya pamoja na uzima ni ya kumshukuru Sana Mungu. Siku ianzapo na pale iishapo hutufundisha mengi sana ikiwa umekaa katika mkao wa kujifunza. Moja ni fundisho la kuwa Muda ni Ukuta, hata ingekua kazi vipi imekua njema na …

187: Jifunze Katika Ugumu

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku huwa ni fursa kwetu kufanya kitu na kujiboresha zaidi ya jana. Muda na Pumzi ni nafasi anayotupa Mungu kuitumia kwa uzuri na kutoacha ipotee bure pasipo kufanya jambo lolote lile. Na kuendelea kujifunza na kuchukua hatua ndio matokeo na matumizi mazuri ya kile unachojifunza kila siku, …

186: Uchambuzi wa Kitabu ~ Mambo 25 Nilojifunza Kitabu The LITTLE BOOK OF TALENT by Daniel Coyle

Habari za Siku Mpya tena katika Nafasi ya kuendelea kujiboresha katika Maisha yetu . Nafasi ya Pumzi na Muda ni ya pekee katika kumshukuru sana Mungu kupata nafasi hii, Karibu katika chambuzi za kitabu, na leo ni Kitabu cha The Little Book of Talent by Daniel Coyle. Hiki ni kitabu kinachotoa miongozo ipatayo 52 ya …

185: Unachokiona Sio wao Wakionacho

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, Katika safari ya kujitafuta katika maisha huanza na shukrani ya Pumzi na nafasi ya Muda kutoka kwa Mungu. Kuwepo kwa nafasi hizi mbili zinakupa nafasi ya kujiboresha na kujiendeleza zaidi ya jana. Na maarifa ndio taa katika giza la maisha yetu kila siku. Karibu tushirikishane mambo yaliyo msaada …

Design a site like this with WordPress.com
Get started