Kuna mambo mengi tunayaghairisha katika maisha yetu hili tunalifanya kwa kuona huenda bado muda tunao. Ila tumekuwa mashahidi kwa kuona namna wengi ambao tulokuwa nao miaka 5 ilopita hawapo sasa. Hili linatukumbusha namna ambavyo kila siku tuwapo na nafasi ya uzima ni mwaliko wa kuitumia siku hiyo kama ni siku ya mwisho na hatuna nafasi …
Continue reading "Unapoitazama siku kama siku ya mwisho- “Leo imejitosheleza”"