184: Maisha ni kuwa na Shabaha

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Leo ni siku ya pekee sana ya tarehe 15/10/2017 hivyo tunamshukuru Mungu kwa nafasi hii ya uzima na nguvu tena. Safari ya kuendelea kujifunza ni endelevu kila siku. Siku zimekwisha kuenda sana tangu ilipokua tarehe Mosi ya Mwezi huu Oktoba, Muhimu sana kuona umefikia wapi na kuendelea kujipa …

183: KIONGOZI ALEPENDA USHAIRI ~ HAYATI MWL JULIUS K. NYERERE ( Miaka 18 ya Kumbukizi na tafakari ya Fani ya Ushairi )

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ikiwa ni siku ya tarehe 14/10/2017 ikiwa na kumbukumbu nyingi sana kwa taifa hili la tanzania. Tunamshukuru Mungu kwa nafasi hii ya pekee ya kuwa na kiongozi mahiri na Mwalimu aliyeweza kweli kufundisha mambo kwa mifano rahisi na ya kueleweka Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere. Licha kuwa …

182: Maisha ni sawa na Zoezi la kuandika tarakimu kuanzia 1 ~ 5000 Kwa Dakika Moja

Habari mfuatiliaji wa blogu hii ya figa la ushairi kila siku. Kila siku huwa ni ya pekee sana kutenda na kuanza kuboresha yale ambayo jana ulisema ungetenda. Upekee huu unakua una maana ukihesabu kuwa nafasi ya pumzi na Muda ni ya Kumshukuru sana Mungu. Kutumia vizuri Muda kama rasimali ya ukomo huwa ni jambo zuri …

181: SHAIRI HALISIA ~ UHAI Kama Jani Mtini

Habari Mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, Kila siku huwa na vitu na matukio yake katika maisha. Na maisha ni mkusanyiko wa visa mbalimbali. Hivyo nafasi ya kuwa mzima ni ya pekee sana kujifunza na kujiboresha zaidi ya jana. Maisha yana ukomo na hufananishwa na jani la mti lidondokalo muda wowote waweza kuwa upepo au …

180: UCHAMBUZI KITABU ~ Mambo 26 Niliyojifunza Kitabu THE ART OF CREATIVE THINKING by John Adair

Habari ya siku nyingine tena. Kila siku ni ya pekee na ikienda hatuna namna ya kurejesha imekua hivi karne kwa karne. Dunia ipo katika wakati wa taarifa na sio mwisho hapo bali uhaba wa eneo la wabunifu. Ubunifu wa kubuni mambo, vitu, huduma na bidhaa bado ni changamoto inayoikabili dunia sasa na huenda ikazidi kuendelea …

179: Kila Jambo na Wakati Wake

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, leo ikiwa ni siku ya 10 katika mwezi huu wa 10 tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa nafasi ya Pumzi na Afya. Nafasi hii itupe kuupa Muda kipaumbele kikubwa sana cha kuutunza na Kujiboresha kwa maarifa mbalimbali ya kutujenga nasi tukasogea hatua zaidi. Na njia Pekee ni kujifunza …

178: Mambo 5 Nilojifunza juu ya Maisha ya Mimea ( mf. Mti )

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni zawadi ya kuitumia vizuri kwa thamani katika Muda. Na katika mazingira yetu ya kila siku kuna mambo mengi ya kujifunza kupitia mazingira yetu ambayo Mungu ametujalia kuwa nayo. Karibu tujifunze mambo tunayopata kujifunza kutoka kwa mimea ( mf. Miti ) Mazingira yetu ya kawaida ya …

177: Endelea Kujituma Wiki ya 2 ya Mwezi Oktoba

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Ni nafasi ya pekee kuwa mzima na afya. Nafasi ya uzima na afya ni fursa ya pekee sana kutumia vizuri na si ya kupuuzia hata kidogo. Na safari ya kujifunza ni endelevu sana katika maisha haya ya msongamano wa taarifa tunazopata kila siku. Karibu nikushirikishe kitu kwa ajili …

176: UCHAMBUZI KITABU ~THE POWER OF SELF CONFIDENCE by Brian Tracy na Mambo 25 niliyojifunza ya Kuchukua Hatua.

Habari msomaji na mfuatiliaji wa chambuzi mbalimbali za vitabu katika blogu ya figa la ushairi. Leo hii ni kitabu kingine tena cha kulisha akili zetu kama tulishavyo matumbo yetu kwa milo mbalimbali. Brian Tracy ni Mwandishi mahiri sana na mstadi katika vitabu mbalimbali hasa vya kumjengea mtu msingi wa kujiboresha ndani kwanza kabla kuweka nguvu …

175: Akili ina Mdomo, Chunga Unachotafuna

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, kila siku ni Zawadi nzuri sana ya kuitunza kwa kuheshimu muda na nafasi ya pumzi ambayo Mungu ametujalia kufika hapa ili siku ya leo tuendelee kujiboresha zaidi ya jana. Kujifunza ndio njia pekee ya kutufanya kuwa bora kila siku kwa kujifunza mambo ambayo jana tulikosea ila leo ni …

Design a site like this with WordPress.com
Get started