164: Mambo 25 Niliyojifunza Siku 25 Za Mwezi Wa Tisa

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Kila siku ni ya pekee sana kuendelea na majukumu ya kila siku. Safari ya kuendelea na kujifunza ni ya muhimu sana kwa ajili ya kupiga hatua. Mwezi wa tisa ulianza na sasa unaelekea katika mwisho wake. Nakukaribisha katika Mambo 25 niliyojifunza mwezi huu ambayo yataendelea kutufanya kuwa bora …

163: Maisha ni Kuwajibika Kwako Kila Siku

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Leo ni siku ya pekee sana kutumia nafasi hii kwa thamani zaidi. Leo ipo kwa muda tu hivyo ni jukumu lako kubwa sana kutunza kila lisaa lako. Lisaa lako ndilo linalojenga masaa na hata siku. Nafasi ya pumzi na afya ni kumshukuru Sana Mungu na itendee haki kwa …

162: Hili ndilo Jambo Moja Tunalosahau Katika Safari ya Mafanikio

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Leo ni siku ya pekee sana machoni petu kuwa na pumzi na afya tena, na hata kama hali yako haiko sawa na pumzi bado ipo nikushukuru Mungu kuwa katika muda tatizo lako litaisha. Safari ya kuendelea kujifunza si ya kuikinai hata kidogo au kuipuuza. Kujifunza kunamlipa mtu zaidi …

161: USHAIRI – NYERERE

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, bila shaka kila inapoitwa leo ni nafasi ya pekee sana ya kufanya jambo kwa siku husika. Karibu katika ushairi huu ulioandaliwa na mshairi chipukizi juu ya Mwasisi Baba Wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Karibu Kusoma na Kughani shairi hili katika mikono ya Malenga Jane uwanjani Umetutoka zamani, Tunakuhitaji …

160: Nyumba Ya Mafanikio

Ngonjera- Nyumba ya Mafanikio Kama zilivyokua nyumba za bati na nyasi hazikukosa kuwa na misingi ili zipate kusimama imara. Na kama nyumba yoyote pia ndani huwa hapakosi mazungumzo hata kama ni kimya kimya mwonekano nao utazungumza. JUHUDI Najipenda sana kweli, Si rafiki wa uvivu Napenda fwata kauli, sifanyi kichovu chovu Nawapeleka na mbali, wakaishi kitulivu …

159: MAMBO 29 NILIYOJIFUNZA KITABU CHA ELIMU YA KUJITEGEMEA Na Mwalimu Julius K. Nyerere

Habari za asubuhi, U hali gani ?  Msomaji na mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, karibu katika uchambuzi wa kitabu na mambo niliyojifunza kupitia kitabu hiki. Kama ilivyozoeleka katika taifa lolote lile duniani elimu ndio himizo linalopewa kipaumbele katika kumkomboa mtu kifkra na akawaza kitofauti na akawa tayari kukabiliana na changamoto na haishii tu hapo …

157: Jiwekee Nidhamu hii Kama Kiungo Katika Kufanikiwa

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Bila shaka unaendelea vizuri na mipangilio yako na ratiba zako kila siku. Nafasi ya kuwa na pumzi ni nafasi ya pekee sana kukupa fursa ya kujiendeleza na kujipanga kwa ubora zaidi. Na muda ndio kipimo cha mchango wa mtu duniani kila siku. Endelea kutumia vizuri fursa hizi mbili …

156: Jambo Moja la Muhimu Kabla Ya Kuanza Wiki Nyingine Mpya

Bila shaka u mzima wa afya na nguvu na unaendelea vizuri na ratiba na kutumia kwa uzuri nafasi ya Pumzi na Muda wako. Na nikupongeze kwa kujitoa kwako kujiwekeza katika maarifa na kujifunza kila siku. Wikendi yako bila shaka kuna kitu ukikaa ulijifunza na ambacho ukitumia wiki ijayo kitakusogeza hatua zaidi. Karibu nikushirikishe kitu uzidi …

155: Hizi ndizo Siku 3 Zinazokumwamisha au Kukuimarisha Maishani

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku. Bila shaka ifikapo jioni ni wakati mzuri sana wa kuangalia siku yako ilikwendaje ?, ni wakati wa kujipongeza pale ulipoweza na pia ni wakati wa kujikagua pale ulikosea. Kila siku kama utakua makini kutaka kujifunza hubeba mambo mengi sana ya kukusaidia kujifunza. Usisahau thamani ya mtu ni pumzi …

Design a site like this with WordPress.com
Get started