144: Uchambuzi Kitabu, UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, Bila shaka siku yako imekua njema sana na inaelekea kwisha ili kuitazama wiki nyingine tena. Pumzi ndio zawadi yetu kwa kuheshimu na kumshukuru Mungu kwa kuwa na matumizi bora ya Muda wetu, karibu katika uchambuzi wa kitabu cha Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuhusu uongozi na hatma ya …

143: Mende Ni Fursa Aliyoiona Ndugu Diplomat. Ndio Mende wa Nyumbani

Habari mfuatiliaji wa blogu hii, naamini mwezi huu ni kuchukua hatua tu. Ni siku ya pekee sana kuwa na pumzi na afya kwa kuiona siku ya pili ya mwezi huu wa tisa, mshukuru Mungu kwa nafasi hii ya pekee kabisa. Ni wakati wa kuyaendea majukumu na kutenda kitu usikubali siku iishe tu. Jiwekee mtazamo wa …

142: Shairi la Mwezi wa Tisa na Dua Ya Malenga

Habari mfuatiliaji wa blogu hii, karibu katika kujifunza katika shairi hili kwa ajili ya mwezi uloanza na kuendelea katika siku 30 za mwezi huu ili tupige hatua zaidi. Nikutakie safari njema ya Kujifunza katika Beti hizi kuna beti zako utapata kitu. Karibu na kila la heri msomaji wangu 1. Nakushukuru Rabuka, Muumba wa vitu vyote …

141: Beba Kauli Moja Unapoingia Mwezi wa Tisa Ili uwe wa Kitofauti Kwako

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, nikupongeze kwa jitihada na juhudi zako kila siku za kujifunza hata kama sio hapa,.kwingineko ikiwa wapata maarifa na ukayatendea kazi basi kwangu ni furaha kuona unapiga hatua zaidi. Ashukuriwe Muumba aliyetupa mwezi wa nane na leo ni tarehe ya mwisho wa mwezi huu. Huu ni wakati pekee wa …

140: Mfalme Sanje- Pata Elimu Ila Uwe Na Maarifa

Habari na Uhali gani ?mfuatiliaji wa Blogu hii Figa la ushairi. Pole na Majukumu, Bila shaka ulikua katika Uwanja wa Majukumu yako leo, yote ni katika kutafuta kuendelea Kupiga Hatua, Ashukuriwe Rabuka atupaye Pumzi na afya kwa ajili ya kuendelea siku nyingine. Kama ulikwama ni wasaa wa tafakari wapi tatizo, kisha rekebisha uendelee na Safari, …

139: Unapoelekea Robo Ya Mwaka ilobakia Jikumbushe Ulisema nini Mwaka Huu ?

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni jambo la kumshukuru Mungu kupata nafasi ya uzima na uhai katika miili yetu. Na nafasi ya Muda ndio Maisha yetu pia kuwa tupate fursa ya kujitathimini na kujipanga upya na kujiendeleza pale tuliposhindwa. Mwaka unaenda katika robo tatu yake bila shaka kuna mengi sana umejifunza katika safari …

138: MAMBO 28 NILIYOJIFUNZA SIKU 28 ZA MWEZI AGOSTI

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, ni wakati wa pekee tena kuwa na pumzi na afya kwa ajili ya kuendelea na kujituma na kujiboresha. Safari ya kujifunza bado inaendelea kila siku maana kila siku inaleta mambo tofauti na matazamio yetu licha kujipanga kwako, bado maisha yanaweza kukupa usichokitaraji kukipata. Jifunze tu kuwa tayari kwa …

137: Vitu Vidogo Vidogo Huwa Havituachi Salama, Jiangalie Utaona

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, sina shaka kuwa ulikua na wakati mzuri wa wikendi yako namna uliitumia kuanzia jumamosi nayo jumapili. Nikupongeze sana kwa kila hatua unayotoa muda wako kujifunza kupitia uwanja huu wa maandishi. Tunayo sababu ya kuendelea kumshukuru Mungu kwa pumzi na Uzima, Muda ni rasimali ya usawa jitahidi uitumie vizuri …

136: MFALME SANJE- UTENZI KIZAZI CHA UBUYU

Ubuyu kama tunda na Ubuyu unaopendwa, Ila huenda limeota kidonda. Karibu Katika Utenzi wa Mfalme Sanje na Ubuyu wake Mkononi usopatikana Sokoni swali upo wapi ? Karibu katika utenzi tufichue Ubuyu gani alonao Mfalme Sanje Aaaah ni kicheko cha huzuni Ingawa furaha usoni Ni cheko la kwikwi kooni Ingawa tatizo silioni Aah kizazi cha Ubuyu, …

135: MFALME SANJE – KIJANA KWA HAYA UTASIMULIWA TU

Habari mfuatiliaji wa blogu hii kila, bila shaka siku yako ilikua njema sana, na kama bado kuna mambo unayafikiri kesho kesho hutaifika, anza sasa kufanya. Ikiwa bado una pumzi na nguvu hakikisha unapata muda wa kujikagua na kuweka mambo sawa ili uzidi kupiga hatua. Karibu nikushirikishe kunga za Mfalme Sanje, katika kuishi kwake na kuona …

Design a site like this with WordPress.com
Get started