Karibu Msomaji na Mfuatiliaji wa blogu hii kila siku, karibu katika simulizi halisi za kuelimisha na kutukumbusha kila siku, tutakua tukiendelea kupata nafasi hii ya pekee na Mwalimu wetu Emmanuel Makwaya, Karibu tujifunze pamoja katika simulizi ya BABU,BIBI NA MJUKUU Mjukuu: Mmh babu, hadi leo unadeka kwa bibi khaaah. Bibi : 'akiwa anacheka' embu mwambie …
Continue reading "105: KALAMU YA MWANDISHI- BABU,BIBI NA MJUKUU"