Mara ngapi katika maisha yako umekuwa unakutana na matukio ambayo ungetamani kwamba ungepewa nafasi tena basi ungeitumia vizuri zaidi maana toka hiyo nafasi ipite huna tena marudio ya kuifanya tena. Inawezekana ni nafasi ulikuwa nayo ya kuzungumza na mtu, kutamani kusikia uambiwe kitu na mtu ila ulipoteza nafasi hiyo kwa mtu huyo kufariki ukifikiri ungepata …
Continue reading "Fanya kila kitu kana kwamba hutaipata hiyo nafasi tena"